Friday, January 25, 2013

TANGAZO MAALUM KUTOKA STANDARD VOICE LTD


Tunapenda kukutangazia kuwa kituo chetu cha Radio kiitwacho STANDARD RADIO FM sasa kimeanza kurusha matangazo yake mkoani Singida

 

Miongoni mwa matangazo yanayorushwa na Radio hii ni Taarifa za habari, Vipindi mbalimbali pamoja na burundani ya Muziki mchanganyiko wenye ladha inayoendana na mahitaji ya msikilizaji

 

Aidha vipindi vyetu pia vinaandaliwa na watayarishaji mahili kwa kuzingatia uhitaji wa jamii, kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiutamaduni

 

Miongoni mwa vipindi tulivyonavyo ni

·       HOJA YA LEO

·       UCHUMI WETU

·       UKULIMA NA MAZINGIRA NA UFUGAJI

·       UKIMWI

·       ELIMU YETU

·       HAKI NA USAWA

·       ULIMWENGU WA MICHEZO

·       UJASIRIAMALI

·       WATOTO

·       VIJANA NA UJANA

·       UZEE NI TUNU

·       WAJIBU WAKO

·       AFYA NA UZAZI

 

Standard radio inasikika katika masafa ya FM - 90.10 MHz na inasikika mkoa mzima wa Singida pamoja na maeneo yafuatayo

 

1.   Igunga

2.   Nzega

3.   Uyui

4.   Kondoa

5.   Katesh

6.   Mbulu

7.   Manyara

8.   Bahi

9.   Hanang

na maeneo mengine jirani na mkoa wa Singida

Tunakukaribisha kuitegea sikio Radio Yako STANDARD RADIO FM Sauti ya Wasiosikika na tunakukaribisha ulete habari, matangazo, maoni na maswali pia
 
Aidha tunao wawakilishi wetu kutoka mikoa ifuatayo KIGOMA, DODOMA, RUKWA, KAGERA, MANYARA na DAR ES SALAAM

 
Ukiwa na Tangazo, taarifa, hoja yoyote tafadhari wasiliana nasi kwa anuani ifuatayo

 

SLP 62 SINGIDA

SIMU. 0786200518, 0787 592056, 0764243377

BARUA PEPE srfm2011@gmail.com

Tupo pia katika mitandao ya jamii TWITTER na FACEBOOK

Waweza pia kututembelea katika BLOG yetu kwa anuani ifuatayo www.standardradiofm.blogspot.com

 

STANDARD RADIO FM, SAUTI YA WASIOSIKIKA

No comments: