Thursday, January 31, 2013

HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA KUKAMILIKA

Majengo ya Hospitali ya Rufaa nayojengwa mjini Singida, hospitali hii inatarajiwa kusaidia kupunguza tatizo la wagonjwa kusafirishwa kwenda KCMC na Bugando pindi wanapohitaji matibabu ya utaalamu wa juu zaidi

No comments: