Friday, January 25, 2013

POLISI WAJENGEWA NYUMBA IRAMBA


Mkuu wa jeshi la Polisi mkoani SIngida ACP Linus Sinzumwa (katikati) akikagua ujenzi wa nyumba ya kuishi askari katika kituo cha polisi Misigiri wilayani Iramba , Ujenzi huo unatekelezwa na wananchi wa kata ya Misigiri ambao wameamua kufanya hivyo baada ya kukerwa na uharifu na kisingizio cha polisi kutokuwa na makazi.

No comments: