Tuesday, October 16, 2012

RPC LIBERATUS BARLOW AAGWA MWANZA

Jeneza alimohifadhiwa Marehemu Kamanda Barlow likiwekwa sehemu maalumu ya kuagwa, umati mkubwa wa wananachi na viongozi wa umma na vyombo vya dola walijitokeza kumuaga kabla ya kusafirishwa kwenda Dar es salaam

Mungu aliumba na kutupa pumzi ili tuishi na kuipendezesha dunia lakini Majambazi wanakatili maisha yetu, Mungu alimpenda Barlow lakini Majambazi wamemkatili


baadhi ya waombolezaji wakiwa wamezirai kufuatia uchungu wanaoupata wa kuondokewa na kipenzi chao RPC Barlow

No comments: