Thursday, October 24, 2013

WANAFUNZI WAWILI WA KIDATO CHA NNE KUBAINIKA NA UJAUZITO







Na.Mwandishi wetu
 Bodi ya Shule ya sekondari ya Ibaga wilayani Mkalama imewafukuza shule wanafunzi wawili wa kike,kati ya wanafunzi 77 wa kidato cha nne wanaotarajiwa kufanya mtihani wa taifa mwezi ujao baada ya kubainika kuwa na ujauzito.

Mkuu wa shule ya sekondari Ibaga,Bw Wilsoni Mchemba amesema hayo kwenye taarifa aliyotoa kwa mgeni rasmi wakati wa mahafali ya nne ya kidato cha nne yaliyofanyika shuleni hapo

Amesema shule kutokuwa na mabweni, wanafunzi  kutembea zaidi ya kilomita tano ni moja ya sababu zinazosababisha  matatizo hayo ikiwa ni pamoja na  kupata ujauzito

Aidha Bw Mchemba amewataka wazazi kushirikiana na uo

No comments: