Friday, October 18, 2013

BILIONI MIA MBILI NA KUMI NA SABA KUTUMIKA KATIKA UJENZI WA KUFUA UMEME WA UPEPO





  Na.Mwandishi wetu

Jumla ya shilingi bilioni 217 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa upepo
Katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini Bw Eliakimu Maswi amesema hayo jana wakati akitoa taarifa kwa umma kuhusu mpango wa matokeo makubwa sasa yaani (Big Result Now)
Mradi huo ambao unatekelezwa kupitia shirika la maendeleo ya taifa NDC, Taneco pamoja na kampuni ya Power pool East africa uko katika hatua za kubadirisha matumizi ya eneo utakapojengwa mradi huo
 
Amesema kuwa baada ya zoezi hilo kukamilika utekelezaji wa mradi huo utaanza mara moja kutokana na kile alichokieleza kuwa tayari mkopo umepatikana kutoka benk ya Exim ya China

No comments: