Wednesday, October 16, 2013

WAISLAMU NCHINI WAMETAKIWA KUSHEREKEA KWA AMANI SIKUKUU YA EID


 
 
Na.Festo Sanga
 
waisilamu nchini wameungana na waislamu wengine nchini kusherehekea sikukuu a idd kubwa, ambapo pamoja na mambo mengine wametakiwa kuwajali watoto kwa kutoa sadaka kama mwenyezi mungu alivyowaamuru

 
wito huo umetolewa na msaidizi wa imamu bw ponda, hasa katika  swala ya eid  el haj, iliyofanyika katika msikiti wa kati new kiomboi  wilayani iramba

 
shekh ponda amesema iwapo waisilamu watawajali  na kuwathamini kwa kushiriki na watoto hao wakati wa sikukuu, watakuwa wametimiza ibada hiyo kama ilivyokusudiwa

 

aidha waumini wa dini ya kiisilami mjini kiomboi, wamewatakiwa kusherehekea eid el haj kwa amani na utulivu,  na kuepuka kufanya vitendo viouvu vinavyochukiza katika jamii

No comments: