Monday, February 25, 2013

RADIO KWIZERA NGARA YATEMBELEA STANDARD RADIO FM



Mkurugenzi wa Radio Kwizera Ngara Padre Damas Missanga SJ (mwenye kofia ya Pama maarufu kama Malboro) katikati, akiwa katika picha ya Pamoja na watangazaji wa STANDARD RADIO FM mkoanii SIngida, alipofanya ziara mapema leo akiwa njiani kwenda Dodoma na Dar es salaam kwa vikao.

 Waandishi wa Habari wa Standard Radio 90.1 MHz SINGIDA wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Radio Kwizera Ngara, Kutoka kushoto mstari wa mbele ni Prosper Kwigize (Project Coordinator wa Standard Radio) akifuatiwa na Padre Misanga wa RK Ngara, Boniface Mpagape Mhariri wa habari, Neema Julius mwakilishi wa Standard kutoka Manyoni, Zaitun Kimu Fundi Mitambo msaidizi, Saada Salum Mtayarishaji wa Kipindi cha naksh Nakshi za Asia, Beatrice Moses Mwanafunzi kutoka AJTC, Edilitruda Chami Mwandaaji wa kipindi cha Uchumi wetu, Michezo na kutoka Mitandaoni, Edna Lyatuu mwanafunzi kutoka AJTC Arusha na wa mwisho ni Bw. Missanga (mdogo wake Padre Misanga) ambaye amefuatana na kaka yake kuzuru ofisi na Studio za Standard Radio.



Ushirikiano huu ukiendelezwa hat

1 comment:

Unknown said...

However the Radio Kwizera ngara could have to learn something new from Standard Radio FM, as they had have to look on how they can assist or improve them. Thanks a lot Coordinator for such occasion