Monday, February 25, 2013

MATUKIO KATIKA PICHA KUTOKA STANDARD BLOGSPOT

Mkuu wa mkoa wa Singida Dr. Parseko Kone (mwenye kofia) akiteta jambo na viongozi wa wilaya ya Mukalama wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi wa maabara, kilimo na uwajibikaji wa viongozi na wananchi wa wilaya hiyo hivi karibuni. wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Mukalama Bw. Edward Ole Lenga



























Padre Damas Missanga Mkurugenzi wa Radio Kwizera Ngara akiteta jambo na Bw. Moses Anthon fundi mkuu wa Mitambo wa Standard Radio fm, Missanga alitembelea chumba cha Mitambo ya Standard Radio FM jana. Aidha Moses amewahi kuwa fundi msaidizi wa Radio Kwizera kabla ya kujiunga na Standard Radio FM SIngida

Padre Damas Missanga, kutoka Radio Kwizera Ngara Kagera akisaini Kitabu cha wageni cha Standard Radi Fm Mkoani Singida, Missanga ni mwenyeji wa Mkoa wa Singida. Baadhi ya viongozi wa Standard Radio wamewahi kufanya kazi Radio Kwizera

No comments: