Tuesday, March 19, 2013

TTCL YAAHIDI KUSHIRIKIANA STANDARD RADIO FM


VIONGOZI WA MAKAMPUNI YA STANDARD VOICE LIMITED NA TTCL MKOANI SINGIDA WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA BAADA YA KIKAO CHA KILICHOKUWA KIKIJADILI NAMNA TTCL INAVYOWEZA KUTUMIA RADIO KAMA NJIA MPYA YA MAWASILIANO BAINA YAKE NA WATEJA KATIKA KUBORESHA HUDUMA KWA WATEJA WA KAMPUNI HIYO KUBWA YA MAWASILIANAO YA SIMU TANZANIA



Wawili katikati ni Bw. James Japhet Daud (kushoto) mkurugenzi wa Standard Voice LTD na kulia aliyevaa koti Ni Bw. Mwambene Meneja wa TTCL mkoa wa Singida. picha na. Prosper Kwigize (meneja wa Standard Radio fm) 90.10 MHz SINGIDA

No comments: