Thursday, December 13, 2012

MAFUNZO KAZINI NI MUHIMU

Baadhi ya wafanyakazi wa Standard radio FM katika picha ya pamoja baada ya kuhitimisha mafunzo ya siku Tatu mjini Singida
Fundi mitambo wa SR Bw. Moses Anthony akitoa maelekezo kwa waandishi wa habari juu ya namna matangazo yanavyomfikia msikilizaji
Mhariri wa SR Boniface Mpagape akiteta jambo na waandishi wakati wa picha ya pamoja baada ya mafunzo, kushoto ni Bi. Saada Salum, na kulia ni Moses Anthony
Tuko pamoja wana STANDARD

No comments: