Tuesday, December 25, 2012

HERI YA NOEL NA MWAKA MPYA

Tunapenda kukutakia wewe msomaji wa mtandao huu, heri na baraka ya sikukuu za Noeli na Mwaka mpya. Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari mbalimbali kutoka Standard Radio FM, wewe umekuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha azima yetu ya kuwa SAUTI YA WASIOSIKIKA

Tunaahidi kuendelea kukuletea habari mbalimbali za kukuhabarisha, kukuburudisha na kukuelemisha kupitia katika mtandao huu, aidha kupitia katika matangazo yetu ya Radio katika masafa ya 90.10mhz mkoani Singida.

kama una habari, maoni, taarifa au tangazo lolote tafadhari wasiliana nasi kwa e-mail hii

srfm2011@gmail.com

Tunakutakia sikukuu njema

No comments: