Wednesday, May 1, 2013

STANDARD WATOA FURSA YA MAFUNZO KWA VITENDO




























Kituo cha matangazo cha Standard Radio fm, kimepokea wanafunzi kutoka vyuoo mbalimali vya habari nchini kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo katika kipindi cha May-July mwaka huu

 

Waliopokelewa ni wanafunzi kutoka vyuo vya Musoma Utalii, SAUT na Arusha Journalism ambao pamoja na mambo mengine watashiriki kazi za kihabari na utangazaji

 

Pichani ni baadhi ya wanachuo hao, ambao wamewasili leo Mei Mosi kuanza rasmi mafunzo yao

 

Kutoka kulia ni Bi. FATMA MUNA na MARIAM MATUNDU kutoka Arusha Journalism na Bw. MAZIKU MOTTO kutoka Musoma Utalii Tabora.



No comments: