Sunday, May 5, 2013

MAALBINO WALINDWE NA KUTAMINIWA NA JAMII




Mkuu wa Mkoa wa Singida Bw Pareseko Kone Ameshukuru Serikali na chama cha Walemavu wa ngozi Tanzania kwa kuupa heshima ya kuwa wenyeji wa maazimisho ya siku ya ualbino kitaifa  mkoa wa Singida.

 

Kauli hiyo imesema wakati wamaadhimisho ya siku ya Albino kitaifa yaliyofanyika jana katika uwanja wa  Namfua  Mkoani Singida.

 

Bw. Kone ameeleza kuwa wizara husika na chama cha walemavu wa ngozi Tanzania walijadili na kuamuwa kuwa Mkoa wa Singida ni moja kati ya mikoa inayoweza kuanda na kufanikisha shughuli hizo.


Aidha Bw Kone ameeleza kuwa kuwa kauli mbiu ya mwaka huu katika  maadhimisho hayo ni Kansa ya Ngozi Je Waijuwa, na mkoa wa wamejipanga kuhakikisha kuwa kila mlemavu wa ngozi anapata huduma iliyo ndani ya uwezo wa mkoa.

1 comment:

Anonymous said...

Hi! Would you mind if I share your blog with my twitter group?
There's a lot of folks that I think would really enjoy your content. Please let me know. Many thanks

Also visit my web-site; ideal waist to hip ratio