Wednesday, May 1, 2013

HELVETAS USWISS YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA STANDARD RADIO

Maafisa wa shirika la maendeleo la Uswiss wakizuru ofisi na jumba la matangazo la Standard Radio mkoani Singida katika ziara yao maalumu ya kutembelea kituoo hicho kwa malengo ya kuandaa mkakati wa kuanzisha ushirikiano katika kuandaa vipindi vya maendeleo hususani katika kilimo na ufugaji

katika kipicha kutoka kushoto Bw. Christian Bobst mpiga picha kutoka nchini Uswiss, Bi. Astrid Rana na Bi. Franca Palmy maafisa wa Helvetas wanaohusika na masuala ua ushirikiano na utunishaji wa mfuko wa maendeleo kwa ukanda wa Afrika na mwenye suti nyeusi ni Bw. Prosper Kwigize Meneja wa Standard Radio

katika picha ni Bw. Yusuph Salum mratibu wa shirika la Helvetas mkoanii Singida akiwa na Maafisa wake kutoka nchini Uswiss katika studio za Standard Radio, walikuwa wakishuhudia mafumo wa matangazo na namna matangazo yanavyorushwa na mtangazazji wa zamu

No comments: