Wednesday, September 25, 2013

WANAFUNZI WAASWA KUSOMA MASOMO YA SAYANSI MJINI SINGIDA



Na.  Anna Chiganga

Wanafunzi shule za sekondari mkoani Singida wametakiwa kupenda masomo ya sayansi ili kwenda sambamba na mabadiriko ya Sayansi na teknolojia
Mwalimu wa sayansi katika shule ya secondary Mitunduruni Bi.Costantini Bejimula  amesema wanafunzi wanaogopa kusoma masomo hayo kutokana na shule nyingi kutokuwa na maabara na vifaa  vya maabara  hali inayosababisha  wanafunzi kuona masomo hayo kuwa magumu
Aidha amesema wazazi wanachangia watoto wao kutopenda masomo hayo kwa kueleza kuwa ni magumu jambo ambalo si la kweli

Hatahivyo ameiomba serikali kujenga maabara na kuwakea vifaa vya maabara hatua itakayosaidia wanafunzi kupenda masomo ya sayansi

No comments: