United States
|
1798
|
Tanzania
|
1111
|
United Kingdom
|
103
|
Russia
|
56
|
Kenya
|
42
|
Nigeria
|
17
|
France
|
12
|
South Africa
|
12
|
Japan
|
7
|
Malaysia
|
6
|
Sunday, November 4, 2012
OUR AUDIENCE SURVEY IN OCTOBER 2012
Saturday, November 3, 2012
KIKWETE KUZURU MKOA WA SINGIDA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Jakaya Mrisho Kikwete atafanya ziara ya siku
mbili mkoani Singida kuanzia tarehe 4 hadi 5 Novemba mwaka huu wa 2012
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa Singida Dokta Parseko V.Kone
wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari ofisini kwake akifafanuzi uwepo wa ziara ya Raisi mkoa wa Singida
Dokta Kone amefafanua kuwa Rais atatembelea Miradi
mbalimbali ya barabara pamoja na kuweka
jiwe la msingi katika mradi wa maji Singida mjini unaotekelezwa na Serikali ya
Tanzania pamoja na mkopo nafuu kutoka kwa wahisani
Hii ni mara ya kwanza kwa rais Kikwete kufanya ziara mkoani
Singida tangu kumalizikia kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 uliomweka madarakani
kwa kipindi cha pili na cha mwisho kwa mujibu wa katiba ya Tanzania
Hadi sasa Rais Kikwete yuko mkoani Manyara kwa ziara ya
kikazi baada ya kutoka mkoani arusha ambako amefanya mikutano na viongozi na
wananchi wa mikoa hiyo.
Friday, November 2, 2012
NITUNZE NIKUTUNZE
Edilitruda Chami Na
Eufrasia Mathias
Singida ni mkoa uliopo katikati ya Tanzania na ni mkoa ambao
una shida ya maji kwa sababu ya ukame kiasi kwamba baadhi ya maeneo hawalimi
mazao yanayohitaji unyevunyevu na maji kwa muda mrefu kama mahindi, maharage na
mbogamboga
Imani ya watu wengi Singida ni kwamba ni vigumu kuwa na ukijani
katika mkoa huo kutokana na upungufu wa maji na mvua ambazo hunyesha kwa misimu
isiyokuwa na mpangilio na wakati mwingine mvua kutokunyesha kwa muda mrefu
Ninachotaka kukuambia msomaji wa hiki ninachokiandika ni
kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na ukijani katika mkoa wa Singida hasa kwa
wale wajanja wanaojua matumizi ya rasilimali chache na adimu kama maji katika
mkoa wa Singida
Sizungumzi kwa maneno tu ila kwa kile nilichokiona na
kukishuhudia tena katikati ya mkoa wa Singida ambapo bustani ya mboga mboga
imeng’aa na ukijani kama uliopo mwambao wa bahari nzuri ndipo nikaamini kuwa kama wewe
unashindwa kuwa na bustani kutokana na ukame kuna mwingine ana bustani naye
anakuuzia mbogamboga unazokula kwako
“jaribu nawe uone!”
DO YOU KNOW? COURAGE IS THE WAY TO SUCCESS
By Eufrasia Mathias
When one sees the child he or she get surprised because
inability of the child to do anything
The surprise come from the way the child is unable even to
identify where and what he or she is doing
Do not hesitate for what you read from the above; the same
happened to you one day asking yourself if you have been young like the way the
child look like. The truth is that you have been young since and you have grown
up until the time you are now having the ability to do activities independently
What I wanted to talk about is not the childish and the
oldness of someone, not really, business always grows time after time
regardless of the changes happening in the market. Business starts with having
an idea which takes someone somewhere in the world and he becomes the big
business man in the world
Taking an example of the woman who decided to sell the ice
cream in front of her house while cooking and preparing her children’s clothes
for school and she succeeded to buy her
children’s uniform from the money she got through selling ice cream broadly
known as “Barafu”
Start now my friend, nothing is possible under the sun
except you.
Subscribe to:
Posts (Atom)


