Sunday, November 4, 2012

OUR AUDIENCE SURVEY IN OCTOBER 2012






United States

1798
Tanzania

1111
United Kingdom

103
Russia

56
Kenya

42
Nigeria

17
France

12
South Africa

12
Japan

7
Malaysia

6

Saturday, November 3, 2012

KIKWETE KUZURU MKOA WA SINGIDA


 
 
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta  Jakaya Mrisho Kikwete atafanya ziara ya siku mbili mkoani Singida kuanzia tarehe 4 hadi 5 Novemba mwaka huu wa 2012

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa Singida Dokta Parseko V.Kone wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari ofisini kwake akifafanuzi  uwepo wa ziara ya Raisi mkoa wa Singida

Dokta Kone amefafanua kuwa Rais atatembelea Miradi mbalimbali ya barabara  pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa maji Singida mjini unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania pamoja na mkopo nafuu kutoka kwa wahisani

Hii ni mara ya kwanza kwa rais Kikwete kufanya ziara mkoani Singida tangu kumalizikia kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 uliomweka madarakani kwa kipindi cha pili na cha mwisho kwa mujibu wa katiba ya Tanzania

Hadi sasa Rais Kikwete yuko mkoani Manyara kwa ziara ya kikazi baada ya kutoka mkoani arusha ambako amefanya mikutano na viongozi na wananchi wa mikoa hiyo.

 

Friday, November 2, 2012

NITUNZE NIKUTUNZE


Edilitruda Chami Na Eufrasia Mathias

Singida ni mkoa uliopo katikati ya Tanzania na ni mkoa ambao una shida ya maji kwa sababu ya ukame kiasi kwamba baadhi ya maeneo hawalimi mazao yanayohitaji unyevunyevu na maji kwa muda mrefu kama mahindi, maharage na mbogamboga

Imani ya watu wengi Singida ni kwamba ni vigumu kuwa na ukijani katika mkoa huo kutokana na upungufu wa maji na mvua ambazo hunyesha kwa misimu isiyokuwa na mpangilio na wakati mwingine mvua kutokunyesha kwa muda mrefu

Ninachotaka kukuambia msomaji wa hiki ninachokiandika ni kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na ukijani katika mkoa wa Singida hasa kwa wale wajanja wanaojua matumizi ya rasilimali chache na adimu kama maji katika mkoa wa Singida

Sizungumzi kwa maneno tu ila kwa kile nilichokiona na kukishuhudia tena katikati ya mkoa wa Singida ambapo bustani ya mboga mboga imeng’aa na ukijani kama uliopo mwambao wa  bahari nzuri ndipo nikaamini kuwa kama wewe unashindwa kuwa na bustani kutokana na ukame kuna mwingine ana bustani naye anakuuzia mbogamboga unazokula kwako

“jaribu nawe uone!”

DO YOU KNOW? COURAGE IS THE WAY TO SUCCESS


By Eufrasia Mathias

When one sees the child he or she get surprised because inability of the child to do anything

The surprise come from the way the child is unable even to identify where and what he or she is doing

Do not hesitate for what you read from the above; the same happened to you one day asking yourself if you have been young like the way the child look like. The truth is that you have been young since and you have grown up until the time you are now having the ability to do activities independently

What I wanted to talk about is not the childish and the oldness of someone, not really, business always grows time after time regardless of the changes happening in the market. Business starts with having an idea which takes someone somewhere in the world and he becomes the big business man in the world

Taking an example of the woman who decided to sell the ice cream in front of her house while cooking and preparing her children’s clothes for school  and she succeeded to buy her children’s uniform from the money she got through selling ice cream broadly known as “Barafu”

Start now my friend, nothing is possible under the sun except you.