STANDARD RADIO FM TANZANIA

The Voice of Voiceless

Sunday, May 5, 2013

SIKU YA WALEMAVU WA NGOZI-ALBINO TANZANIA

Tuwalende na kuwajali wenye ulemavu




Wito Umetolewa kwa kila halmashauli ya Tanzania kuwa na bageti maalum kwa ilikuweza kuwawezesha watu wenye ulemavu wa ngozi kupata tiba kwa muda muafaka na kuwapatia huduma mbali mbali za kijamii

 

Kauliyo hiyo imesemwa na waziri wa tawala za mikoa na serikali za mitaa kutoka offisi ya waziri mkuu Bi. Hawa Ghasia katika kiwanja cha Namfua mkaoni Singida wakati wa maazimisho ya siku ya albino Kitaifa

 

Bi Hawa ameeleza kuwa  Halmashauli zinapaswa kufuatilia sensa iliyofanya ilikuweza kuwa na idadi kamili  ya watu hao ilikuweza kuwa na mgawanyo mzuri na utakao wawezesha wapeleka huduma kuwa na ufanisi wa kuwafikishia huduma kwa muda muafaka.

 

 

Aidha Bi Hawa amelani na kukemea Vitendo vya mauaji na kuwanyanya paa walemavu kuwa ni vitendo vya kikatili na atakaye bainika kufaya hivyo hatua kali za kisheria  zita chukuliwa.

 

 
 
 
 
 



Posted by STANDARD RADIO FM SINGIDA TANZANIA at 6:35:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: STANDARD RADIO FM 2013

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

STANDARD RADIO FM 90.1 FM

STANDARD RADIO FM SINGIDA TANZANIA
SINGIDA TOWN, SINGIDA, Tanzania
The Voice of the Voiceless
View my complete profile

NEWS

  • HOME

YALIYOMO

  • ▼  2013 (193)
    • ►  November (16)
    • ►  October (26)
    • ►  September (10)
    • ►  July (26)
    • ►  June (4)
    • ▼  May (10)
      • DW WATOA UDHAMINI KWA STANDARD RADIO FM- USHIRIKIA...
      • STANDARD RADIO AUDIENCE- THIS WEEK
      • BBC YABISHA HODI STANDARD RADIO FM - MCHAKATO WA U...
      • WASOMI KUTOKA KIGOMA WALIA NA WABUNGE WAO
      • MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AZURU MKOA WA SINGIDA
      • MAALBINO WALINDWE NA KUTAMINIWA NA JAMII
      • SIKU YA WALEMAVU WA NGOZI-ALBINO TANZANIA
      • BONANZA LA STANDARD RADIO MEI MOSI 2013- MATUKIO K...
      • HELVETAS USWISS YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA STANDARD R...
      • STANDARD WATOA FURSA YA MAFUNZO KWA VITENDO
    • ►  April (3)
    • ►  March (14)
    • ►  February (24)
    • ►  January (60)
  • ►  2012 (215)
    • ►  December (23)
    • ►  November (32)
    • ►  October (52)
    • ►  September (28)
    • ►  August (56)
    • ►  July (24)
Standard Radio FM Singida Tanzania. Simple theme. Powered by Blogger.