Sunday, December 30, 2012

GARI LA MAFUTA LANUSURIKA KUUNGUA


 Na Boniface Mpagape.
SINGIDA.

Tela la lori la mafuta ya petroli  lilolokuwa likitoka Dar es salaam kwenda wilayani Ngara mkoani Kagera limeanguka alfajiri 28/12/2012 katika eneo la kisaki manispaa ya Singida na kunusurika kuungua

Akielezea chanzo cha ajali hiyo dereva wa gari hilo Bw. Abdulrahman Shaban amesema lori alIlokuwa akiendesha aina ya  Mercedes Benz lenye namba za usajili T 776 ARL lenye tela namba T 123 ASQ, alikutana na lori jingine lililokuwa limewasha taa kali zilizomsababisha  kutoona mbele na kuacha njia kabla ya kuanguka 

 Amemtaja mmiliki wa lori hilo kuwa ni  Bw. Suleiman Hilal Mohamed maarufu kwa jina la Medi mkazi wa Kabanga wilaya ya Ngara.

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida Bw. Linus Sinzumwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kwamba raia wamethibitiwa vyema kuzuia uporaji wa mafuta ambao ungeweza kusababisha mlipuko wa moto na vifo. 
Kikosi cha askari polisi kwa kushirikiana na kikosi cha zimamoto na uokoaji mkoani Singida wamefanikiwa kuzuia wananchi waliokuwa wakitaka kuchota mafuta ya petrol yaliyomwagika. 


Mrakibu mwandamizi wa kikosi cha zimamoto na uokoaji mkoani Singida Bw. Kevin Mapunda, amesema raia wengi baada ya kupata taarifa za kutokea kwa ajali hiyo, walikusanyika kwa lengo la kujinufaisha kwa kupora mafuta pasipo kuhofia kutokea ajali nyingine ya mlipuko wa moto.  

Tukio la kupinduka kwa lori la mafuta liliwahi kusababisha watu 44 kujeruhiwa vibaya kwa moto wakati wakipora mafuta  katika wilaya ya Manyoni mkoani Singida  miaka ya nyuma. 

 

 

 

 

 

Thursday, December 27, 2012

TPSC SINGIDA NA MKAKATI WA MAENDELEO


Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma cha mkoani Singida Bw. Levi Kulamwa (pichani) ametangaza kuwasaidia wahitimu wa Kidato cha nne kote nchini kupata fursa ya kujiendeleza kielimu kwa kuwapatia nafasi za masomo na kozi mbalimbali katika chuo hicho

hata hivyo ametoa changamoto kuwa wanaostahili kudahiliwa na huo hicho ni wale wenye ufaulu mzuri pamoja na waliopata angalau alama D katika mitihani yao ya kumaliza kidato cha nne


Jengo la utawala la CHuo cha utumishi wa Umma Singida, Licha ya kuwa tawi changa mkoani humo, kimefanikiwa kudahili wanachuo zaidi ya elfu moja ambao wanapata mafunzo ya kozi mbalimbali. Matarajio ya Chuo hicho ni kuwawezesha vijana wa Tanzania kuingia katika ushindani wa soko huria la ajira ndani na nje ya Tanzania (anasema Bw. Kulemwa, mkuu wa chuo hicho)

Tuesday, December 25, 2012

HERI YA NOEL NA MWAKA MPYA

Tunapenda kukutakia wewe msomaji wa mtandao huu, heri na baraka ya sikukuu za Noeli na Mwaka mpya. Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari mbalimbali kutoka Standard Radio FM, wewe umekuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha azima yetu ya kuwa SAUTI YA WASIOSIKIKA

Tunaahidi kuendelea kukuletea habari mbalimbali za kukuhabarisha, kukuburudisha na kukuelemisha kupitia katika mtandao huu, aidha kupitia katika matangazo yetu ya Radio katika masafa ya 90.10mhz mkoani Singida.

kama una habari, maoni, taarifa au tangazo lolote tafadhari wasiliana nasi kwa e-mail hii

srfm2011@gmail.com

Tunakutakia sikukuu njema

Monday, December 17, 2012

STANDARD RADIO FM TRANSMISSION SITE

Here is where the Voice of the Voiceless will start in Singida town in the Central Tanzania

From here wi will reach to the milions of peoples through Radio Programs production which will be aired via FM, Internet and Satelite transmission, for sure we are Voice of Voiceless


Sub Transmission tower at VETA area in Singida, from here people from different location will be enjoy through our production

Saturday, December 15, 2012

SINGIDA KUTOKOMEZA JANGWA


Mkuu wa wilaya ya SIngida akipanda mti katika siku maalumu ya upandaji miti katika manspaa ya Singida katika kampeni maalumu ya kutokomeza jangwa. picha na Ediltruda Chami
 
Na. Edilitruda Chami na Elizabeth Martin.

Mkuu  wa wilaya ya Singida Bi. Queen Mlozi amesema kuwa ni vyema kila mwananchi wa mkoa wa Singida kushiriki katika shughuli za upandaji miti ili kuondokana na hali ya ukame unaosababisha hali ngumu ya maisha mkoani Singida.

Wito huo ameutoa  leo katika Uzinduzi wa awamu ya pili wa kampeni ya vita dhidi ya jangwa na miaka hamsini na moja ya uhuru katika kijiji cha Kitope kata ya Mandewa mkoani Singida.

Katika uzinduzi huo jumla ya miti 400 aina ya miti maji inayotoa  sabuni na mbao,  imepandwa ikiwa kama ishara ya mwendelezo wa tukio hilo ambapo miti hiyo huchanua kila baada ya miaka mitatu

Katika hotuba yake Bi. Mlozi amewataka wananchi kushiriki katika upandaji wa miti pamoja na ufugaji wa nyuki, sambamba na kuwa mstari wa mbele katika kuzuia uharibifu wa mazingira kwani wananchi wa mkoa wa Singida wanaongoza kwa kuchoma mkaa na kusafirisha nje ya mkoa na kwamba atakayekamatwa akichoma mkaa sheria itachukua mkondo wake.

Mtoto huyu ni miongoni mwa watoto wa kijiji cha Kitope kata ya mandewa mjini singida akiunga mkono juhudi za serikali za kupanda miti katika eneo lao ambalo ni jangwa

Hata hivyo wananchi waliohudhuria katika uzinduzi huo wameshukuru uongozi wa manispaa ya Singida kwa mkakati huo wa upandaji miti walioanzisha kwani wanaamini kwa kufanya hivyo, Singida itaonekana kjani na sivyo kama watu walivyojijengea kuwa Singida ni kame na kuwa mstari wa mbele kutimiza kauli mbiu ya ” kata mti panda mti”.

Kampeni hiyo imezinduliwa chini ya mradi wa taasisi binafsi ijulikanayo kwa jina la Anti Desert. Kampeni ya upandaji miti ngazi ya Manispaa ya Singida inatarajiwa kufanyika tarehe 4 Januari mwaka 2013, katika shule ya msingi Unyinga mjini Singida.  Awamu ya kwanza ya kampeni hiyo ilifanyika mwaka 2006.

 

 

Friday, December 14, 2012

27 CHILDREN KILLED IN USA


 

As many as 27 people have been killed, including many children, in a shooting attack at a primary school in the US state of Connecticut, US media say.

At least 18 children are among the dead at Sandy Hook Elementary School in Newtown, the Associated Press reported.

State police spokesman Paul Vance said the gunman died at the scene - but would not confirm the number of deaths.

If confirmed, Newtown would be the second-deadliest US shooting, after 32 people died at Virginia Tech in 2007.

Friday's shooting is the third major shooting in the US in 2012.

In July an attack that killed 12 people at a premiere of a Batman film in Aurora, Colorado. In August six people died at a Sikh temple in Wisconsin.

Children's 'eyes covered'

Governor Dannel Malloy is meeting the families of the victims, a spokesman said, and is expected to visit the school later in the day. He is expected to make a statement later on Friday.

White House Press Secretary Jay Carney told reporters that US President Barack Obama had been informed of the incident and was receiving regular updates.

Deadly US mass shootings

  • 1984: James Oliver Huberty shoots dead 21 people at a McDonald's in California
  • 1986: Postal worker Pat Sherrill kills 14 people at post office in Oklahoma
  • 1991: George Hennard kills 23 people at a cafeteria in Texas
  • 1999: Two students at Columbine high school kill 13 and injure 20, before killing themselves
  • 2007: A student kills 32 and injures dozens more at Virginia Tech university
  • 2009: 13 people are killed in a mass shooting at Ford Hood military base in Texas

Sandy Hook School - described by correspondents as a highly rated school has more than 600 students in classes from Kindergarten to 4th Grade - spanning the ages five to 10.

Police arrived at the school soon after 09:40 local time (14:40 GMT), answering reports that a gunman was in the school's main office and one person had "numerous gunshot wounds".

Scores of officers at the scene carried out a full search of the site. Classes were cancelled as the situation developed.

Schools across the district were immediately on lock-down as a preventive measure, officials said.

US TV networks identified the gunman as Ryan Lanza, 24, reported to be from New Jersey. According to reports, his mother was a teacher found among the dead at the school.

He was described as a man in his 20s, dressed in black, with links to the school, a law enforcement official told the Associated Press.

The official said the gunman used a .223-calibre rifle during the attack, adding that police in the state of New Jersey are investigating a location there in connection to the shooting.

With the death toll rising, it emerged that one entire classroom of students may remain unaccounted for, local sources reported.

Three other people were taken to hospital and are reported to be in "very serious condition", Danbury Mayor Mark Boughton told CNN.

One witness speaking to CNN said that shots were heard coming from the hall. There "must have been 100 rounds" fired, she told the channel.

Local media have reported that firefighters instructed children to close their eyes and run past the school's office as they exited the building.

Other sources suggest that some of the shots were fired in a school classroom.

There were early unconfirmed reports of two shooters, but no further details of a second gunman mentioned by police.

Story By. BBC

PRESS RELEASE FROM IOM INTERNATIONAL

I O M N E W S R E L E A S E

IOM
17, route des Morillons
CH - 1211 GENEVA 19
SWITZERLAND
Tel: +41.22.717 91 11
Fax: +41.22.798 61 50
Internet: http://www.iom.int



MIGRANT WORKERS HIT BY CRISES NEED COMPREHENSIVE, LONG TERM HELP, SAYS IOM ON INTERNATIONAL MIGRANTS DAY, 2012

GENEVA- 18th December 2012 - The evacuation of more than 200,000 migrant workers from Libya in 2011 focused world attention on the plight of tens of thousands of migrant workers, mainly from low-income, developing countries, who found themselves swept up by the political upheaval, without money, jobs, documentation or any means of getting home to their families.

Their marginal status in Libya and obvious vulnerability touched a chord with international donors who stepped in to help agencies including IOM and UNHCR to mount a massive repatriation operation. They included the World Bank, which funded a USD 10 million IOM airlift of 35,000 migrants to Bangladesh.

The crisis highlighted the fact that conflicts and man-made or natural disasters can impact already vulnerable migrants resulting in humanitarian crises. The international community, and in particular migrant sending and receiving countries, must recognize the implications of crises for migrants and their families left behind and act to mitigate both the short and long term consequences, says IOM as it marks International Migrants Day.

"The evacuation of migrants from Libya was a remarkable humanitarian achievement, but was a job half done. While we recognized the reintegration needs of returning Bangladeshi and worked with the government and the World Bank to meet them, we failed to recognize the needs and well-being of other migrants who returned empty-handed to economically depressed and food insecure countries such as Chad and Niger," says IOM Director General William Lacy Swing.

"Crises can result in complex and often unpredictable short and long term population flows. These bring with them a raft of challenges that the international community needs to address comprehensively. They include the protection of vulnerable migrants from crisis-related violence and exploitation in their host country, and in transit, and their safe and sustainable reintegration once they get home," he notes.

IOM's Migration Crisis Operational Framework, which was officially endorsed by the Organization's governing Council on 27 November aims to institutionalize IOM's capacity to respond to migration crises and to address some of the gaps that currently exist with regard to migration in international humanitarian systems.

It seeks to help States to fulfill their responsibility to assist and protect mobile populations, because migrants are more likely to be subject to hardship, human rights violations and discrimination in crisis situations.

The framework addresses the needs of people crossing borders who are not covered under current international protection because their displacement is not related to persecution, international migrants stranded in countries of destination or transit, and internally displaced people.

It lists 15 sectors of possible intervention including camp management and displacement tracking; shelter and non-food relief items; transport assistance for affected populations; health support; psycho-social support; reintegration assistance; activities to support community stabilization and transition; disaster risk reduction and resilience building; land and property support; counter trafficking and protection of vulnerable migrants; technical assistance for humanitarian border management; emergency consular assistance; diaspora and human resource mobilization; migration policy and legislation support; and humanitarian communications.

"Finding humane and effective solutions to the complex and multi-faceted challenges of crisis-related migration flows requires strong partnerships between international organizations, States and a variety of non-state actors, including NGOs, the media, the private sector, religious groups and transnational diaspora communities," says IOM Director General Swing. "We all share a responsibility to protect the human rights of all people on the move."

END

For more information, please contact :

Jean-Philippe Chauzy Tél : 41 22 717 9361 - Mobile: 41 79 285 4366, jpchauzy@iom.int

Chris Lom Tél : 41 22 717 9486-Mobile: 41 79 103 8720, clom@iom.int


--------------------------------------------------------------------------------------------------------------

COMMUNIQUE DE PRESSE DE L'OIM



LES TRAVAILLEURS MIGRANTS FRAPPÉS PAR UNE CRISE ONT BESOIN D'UNE AIDE DURABLE ET GLOBALE DÉCLARE L'OIM À L'OCCASION DE LA JOURNÉE INTERNATIONALE DES MIGRANTS


GENEVE - 18 décembre 2012− L'évacuation, en 2011, de plus de 200 000 travailleurs migrants de la Libye a attiré l'attention du monde entier sur la situation dramatique de dizaines de milliers de travailleurs migrants, principalement originaires de pays en développement à faible revenu, qui, balayés par les bouleversements politiques, se sont retrouvés sans argent, sans emploi, sans documents ni aucun moyen de rejoindre leur famille au pays.

Sensibles à leur statut marginal en Libye et à leur vulnérabilité manifeste, des donateurs internationaux sont intervenus pour aider des organismes tels que l'OIM et le HCR à monter une opération de rapatriements massifs. Parmi ces donateurs, la Banque mondiale a financé le transport aérien de 35 000 migrants vers le Bangladesh, organisé par l'OIM pour un coût de 10 millions de dollars E.-U..

Cette crise a montré que les conflits et les catastrophes naturelles ou provoquées par l'homme peuvent avoir un impact sur des migrants déjà vulnérables et, ce faisant, déboucher sur des crises humanitaires. Il faut que la communauté internationale, et surtout les pays d'origine et d'accueil reconnaissent les conséquences des crises pour les migrants et leur famille restée au pays et qu'ils interviennent pour en atténuer les conséquences à courte et moyenne échéance, déclare l'OIM à l'occasion de la Journée internationale des migrants.

" L'évacuation de la Libye fut certes une remarquable réussite humanitaire, mais le bilan est en demi-teinte. Si nous avons pris la mesure des besoins de réintégration des Bangladais de retour au pays, auxquels nous avons tenté de répondre avec le Gouvernement du Bangladesh et la Banque mondiale, nous avons cependant méconnu les besoins et le bien-être des migrants qui sont retournés les mains vides dans des pays frappés par la récession économique et l'insécurité alimentaire, tels que le Tchad et le Niger " constate le Directeur général de l'OIM, William Lacy Swing.

Il relève que " les crises peuvent déboucher sur des flux de population temporaires et durables, complexes et souvent imprévisibles qui soulèvent toutes sortes de difficultés auxquelles la communauté internationale doit faire face de manière globale, en veillant notamment à protéger les migrants vulnérables contre les violences et l'exploitation concomitantes d'une crise dans leur pays d'accueil puis dans les pays de transit, et à assurer leur réintégration sûre et durable une fois de retour au pays ".

Le Cadre opérationnel de l'OIM en cas de crise migratoire, que le Conseil - l'organe directeur de l'OIM − a approuvé le 27 novembre, entend structurer la capacité de l'Organisation à répondre aux crises migratoires et à combler certaines des lacunes actuelles concernant la migration dans les dispositifs humanitaires internationaux.

Il vise à aider les Etats à s'acquitter de leurs responsabilités en matière d'assistance et de protection des populations mobiles car, en temps de crise, les migrants sont exposés plus que d'autres aux privations, aux atteintes aux droits de l'homme et aux discriminations.

Ce Cadre s'intéresse aux besoins des personnes qui franchissent des frontières mais ne bénéficient pas des mécanismes de protection internationaux actuels parce que leur déplacement n'est pas dû à des persécutions, à savoir les migrants internationaux en détresse dans un pays de destination ou de transit, ainsi qu'à ceux des personnes déplacées à l'intérieur de leur propre pays.

Il s'articule autour de quinze secteurs d'intervention : la gestion des camps et le suivi des déplacements ; la fourniture d'abris et d'articles de secours non alimentaires ; l'aide au transport des populations sinistrées ; le soutien sanitaire ; le soutien psychosocial ; l'aide à la réintégration ; l'aide à la stabilisation communautaire et à la transition ; la réduction des risques de catastrophe et le renforcement des capacités d'adaptation ; le soutien en matière de biens fonciers et immobiliers ; la lutte contre la traite et la protection des migrants vulnérables ; l'assistance technique en matière de gestion humanitaire des frontières ; l'assistance consulaire d'urgence ; la mobilisation des diasporas et des ressources humaines ; l'aide à l'élaboration de lois et de politiques sur la migration ; et la communication humanitaire.

" Pour trouver des solutions humaines et efficaces permettant de relever les défis complexes et multiformes des flux migratoires provoqués par une crise, il faut de solides partenariats entre les organisations internationales, les Etats et les divers acteurs non étatiques, dont les ONG, les médias, le secteur privé, les groupes religieux et les communautés transnationales de la diaspora ", déclare le Directeur général de l'OIM. " Nous avons tous le devoir de protéger les droits humains de toutes les populations mobiles ".

FIN


Pour toutes informations supplémentaires, merci de contacter :

Jean-Philippe Chauzy Tél : 41 22 717 9361 - Mobile: 41 79 285 4366, jpchauzy@iom.int

Chris Lom Tél : 41 22 717 9486-Mobile: 41 79 103 8720, clom@iom.int


--------------------------------------------------------------------------------------------------------------

COMUNICADO DE PRENSA DE LA OIM


En el Día Internacional del Migrante, la Organización Internacional para las Migraciones (OIM) declara que los trabajadores migrantes afectados por situaciones de crisis requieren asistencia exhaustiva y a largo plazo


GINEBRA 18 de diciembre de 2012 - La evacuación desde Libia de más de 200.000 trabajadores migrantes en 2011, atrajo la atención mundial en el sufrimiento de decenas de miles de trabajadores inmigrantes, provenientes mayormente de países de bajos ingresos y en desarrollo, que se hallaron atrapados en medio de un conflicto político, sin disponer de recursos, trabajo, documentos o medio alguno para volver a casa.

Su situación marginal en Libia y su evidente vulnerabilidad, conmovieron a los donantes internacionales que decidieron prestar ayuda a organizaciones como la OIM y el ACNUR, para que llevasen a cabo una operación de repatriación en masa. El Banco Mundial también se unió a este empeño, y financió el puente aéreo de la OIM que permitió transportar a 35.000 migrantes a Bangladesh, con un costo de 10 millones de dólares EE.UU.

Al conmemorar el Día Internacional del Migrante, la OIM destaca que las crisis han puesto de relieve que los conflictos así como los desastres naturales y ocasionados por el hombre pueden repercutir en los migrantes, desde ya vulnerables, dando lugar a crisis humanitarias. La comunidad internacional y, en particular, los países de envío y de acogida de migrantes deben reconocer las repercusiones que tienen las crisis para los migrantes y para sus familiares que permanecen en el país de origen, y actuar con miras a mitigar sus consecuencias a corto y a largo plazo.

El Director General de la OIM, William Lacy Swing, señala: "La evacuación de migrantes desde Libia fue un notable logro humanitario, pero fue una tarea hecha a medias. Si bien fuimos conscientes de las necesidades de reintegración de los nacionales de Bangladesh que regresaron y trabajamos con miras a satisfacerlas con el Gobierno y el Banco Mundial, no logramos identificar las necesidades y el bienestar de otros migrantes que regresaron con las manos vacías a países en plena depresión económica e inseguridad alimentaria, a saber: el Chad y el Níger."

El Sr. Swing prosigue: "Las crisis pueden dar lugar a flujos de población, a corto y largo plazo, que suelen ser complejos e imprevisibles. Por cierto, traen consigo una miríada de retos que la comunidad internacional debe abordar de manera exhaustiva. Ello incluye la protección de los migrantes vulnerables de la violencia y explotación resultantes de las situaciones de crisis en el país de acogida y en países de tránsito con miras a una reintegración segura y sostenible cuando regresan a su país."

El Marco Operacional de la OIM en Situaciones de Crisis Migratoria -que fuera aprobado por el Consejo de la OIM el 27 de noviembre último- aspira a institucionalizar la capacidad de la OIM de responder a las crisis migratorias y a colmar algunas de las brechas actuales referentes a la migración en los sistemas humanitarios internacionales.

Su propósito es ayudar a los Estados para que cumplan con su responsabilidad de prestar asistencia y proteger a las poblaciones móviles, puesto que los migrantes suelen padecer condiciones difíciles, violaciones de sus derechos humanos y discriminación en situaciones de crisis.

El Marco antedicho responde a las necesidades de: personas que cruzan fronteras y que no están cubiertos por ningún sistema de protección internacional vigente, dado que su desplazamiento no fue por motivos de persecución; migrantes internacionales desamparados en países de destino o de tránsito; y desplazados internos.

En ese Marco se enumera 15 sectores de posible intervención, que incluyen: Gestión de campamentos y cartografía de desplazamientos, Albergue y artículos no alimentarios, Asistencia de transporte para poblaciones afectadas, Apoyo en materia de salud, Apoyo psicosocial, Asistencia de (re)integración, Actividades de apoyo a la estabilización y transición comunitaria, Reducción del riesgo de desastres y consolidación de la capacidad de recuperación, Apoyo en materia de tenencia de tierras y propiedades, Lucha contra la trata de personas y protección de migrantes vulnerables, Asistencia técnica para una gestión humanitaria de las fronteras, Asistencia consular de emergencia, Movilización de la diáspora y de los recursos humanos, Apoyo en políticas y legislación migratoria, y Comunicación humanitaria.

Para concluir, el Director General de la OIM, Sr. Swing, declara "Con miras a encontrar soluciones humanas y efectivas a los retos complejos y multifacéticos que plantean los flujos migratorios relacionados con crisis, es preciso concertar sólidas asociaciones entre organizaciones internacionales, países y toda la gama de interlocutores no estatales, incluidos ONG, medios de comunicación, sector privado, agrupaciones religiosas y comunidades transnacionales de la diáspora. Y ello porque la responsabilidad de proteger los derechos humanos de las personas en movimiento incumbe a todos."

FIN

Para más información diríjase a :

Jean-Philippe Chauzy Tél : 41 22 717 9361 - Mobile: 41 79 285 4366, jpchauzy@iom.int

Chris Lom Tél : 41 22 717 9486-Mobile: 41 79 103 8720, clom@iom.int

Thursday, December 13, 2012

MAFUNZO KAZINI NI MUHIMU

Baadhi ya wafanyakazi wa Standard radio FM katika picha ya pamoja baada ya kuhitimisha mafunzo ya siku Tatu mjini Singida
Fundi mitambo wa SR Bw. Moses Anthony akitoa maelekezo kwa waandishi wa habari juu ya namna matangazo yanavyomfikia msikilizaji
Mhariri wa SR Boniface Mpagape akiteta jambo na waandishi wakati wa picha ya pamoja baada ya mafunzo, kushoto ni Bi. Saada Salum, na kulia ni Moses Anthony
Tuko pamoja wana STANDARD

Wednesday, December 12, 2012

OUR AUDIENCE SURVEY FOR LAST 20 DAYS














 United States













1779
Tanzania                                        
1506
Oman
52
United Kingdom
49
Finland
29
Japan
21
Germany
18
Canada
12
France
10
Switzerland                                     8

MAD ICE IN TANZANIA

BEST OF MAD ICE, VOL. 1 - RELEASE PARTY

Known for his super-hits like Baby Gal, Wange and of recent Mapenzi Sumu, all the way from Finland Mad Ice is at the moment in Tanzania to launch a new album for his East African fans and friends in style.

Be part of a very special night when this international Afro-soul artist and his band perform live your favorite hit songs off his 5th Album “Best of Mad Ice, Vol. 1” and at the same time celebrating his 10th anniversary in the music industry.

Get ready for a night full of surprises and fun!

 MAD ICE Amejulikana na kutamba kwa vibawo vyake vikali kama Baby Gal, Wange na kwa sasa Mapenzi Sumu, huyu si mwingine bali ni msanii mashuhuri wa miondoko ya Afro-soul Mad Ice. Msanii huyu ambaye ni mkazi wa nchi ya Finland kwa sasa yupo hapa nchini Tanzania kwa ajili ya kuzindua album yake mpya.

Kua mmoja wapo ndani ya usiku maalum ambapo msanii huyu wa kimataifa atatumbuiza na bendi yake na kukuimbia nyimbo zile kali toka album yake mpya “Best of Mad Ice, Vol. 1” na pia akisherekea maadhimisho ya miaka 10 katika tasnia ya muziki.

Kaa mkao wa kula na usikose!

15 December 2012, 8pm
Venue: Thai Village (Former Arabella)
 

ELIMU HAINA MWISHO

Watumishi wa Standard radio wakiwa katika mafunzo ya kitaaluma yaliyoandaliwa na utawala wa kampuni ya Standard Voice Limited
Na Edilituda Chami
Katika kuhakikisha tasnia ya habari  inasonga mbele waandishi wa habari wa standard radio fm  iliyopo mkoani Singida wamepatiwa mafunzo ya mrejesho wa uandishi wa habari kama ishara ya kuwaongoza katika shughuli zao za kila siku
Mwezeshaji wa mafunzo hayo  Bw. Boniface Mpagape amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kujiandaa zaidi kwa ajili ya ufanisi na ubora katika tasnia ya habari na kueleza kuwa ni vyema kila mtu kutambua kuwa elimu haina mwisho

Aidha waandishi hao wametakiwa kuwa makini katika uandaaji wa habari na kuepuka habari zisizo sahihi na zinazoleta mtafaruku na upotoshaji katika jamii kwani kwa kufanya hivyo jamii itajenga fikra mbaya kwa waandishi wa habari
Naye Mratibu mradi wa Standard Radio Bw. Prosper Kwigize amewapa mbinu  mbalimbali ambazo mwandishi wa habari anaweza kutumia ili habari yake iwe na  mvuto, faida na yenye kuleta maendeleo na mabadiliko katika jamii

Waandishi hao wameushukuru uongozi wa standard radio kwa kubuni mtindo huo wa kutoa mafunzo kwani wameweza kujifunza mambo ambayo ni mageni kwao na ya kuelimisha na kuamini msemo usemao ‘ elimu haina mwisho’

Tuesday, December 11, 2012

STANDARD RADIO YATOA MAFUNZO KWA WATUMISHI WAKE

Waandishi wa habari wa Standard Radio FM wakifuatilia kwa umakini mafunzo ya ufahamu na utambuzi wa malengo, dira, dhima na maudhui ya Radio hiyo iliyoko mjini Singida ambayo katika kipindi kifupi kijacho itaanza kurusha matangazo yake rasimi baada ya mchakato wa ufungaji wa mitambo kukamilika wiki ijayo. kutoka kushoto ni Hadija Mahamba, Boniface Mpagape, Eufrasia Mathias na Elizabeth Martine. Picha zote na. Moses Athony John
Na. Elizabeth Martine
WAFANYAKAZI WA STANDARD RADIO WAMEFANYA MAFUNZO IKIWA NI MCHAKATO WA MAANDALIZI YA URUSHAJI WA MATANGAZO RASMI UNAOTARAJIWA KUANZA RASMI JANUARI 2013.
AKIZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA STANDARD RADIO FM KITUONI HAPO MRATIBU WA STANDARD RADIO BW. PROSPER KWIGIZ KATIKA SEMINA HIYO DESEMBA 11, 2012 AMETAJA  MALENGO MAKUBWA YA RADIO NI KUHABARISHA, KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII YA MKOA WA SINGIDA NA SEHEMU JIRANI AMBAZO MATANGAZO YATAZIFIKIA.
BW. KWIGIZE AMESISITIZA KUWA MALENGO HASA YA KUANZISHWA KITUO HICHO CHA RADIO KUWA NI KUWAPA FURSA WAKAZI WA SINGIDA KUTOA KERO ZAO ILI ZIWEZE KUSIKIKA KWANI NI MUDA MREFU HAWAKUSIKIKA.

PICHA. Bw. Prosper Kwigize akitoa semina kwa watumishi wa standard Radio kuhusu sera, dira na mtazamo wa Standard radio FM mjini Singida

AMESEMA STANDARD RADIO FM ITASAIDIA PIA WAKULIMA WA MKOA WA SINGIDA NA MAENEO MENGINE YA JIRANI KUJIFUNZA KUHUSU UJASIRIAMALI, KILIMO PAMOJA NA KUJUA WAPI MASOKO YANAPATIKANA ILI WAONDOKANE NA UMASIKINI
AIDHA BW. KWIGIZE AMEWATAKA WAFANYAKAZI WOTE KUTAMBUA KUWA WAAJIRI WAO NI WASIKIKLIZAJI WA STANDARD AMBAO KUPITIA KWAO MAISHA BORA KWA WAANDISHI NA WANANCHI WENYEWE YATAPATIKANA

STANDARD RADIO FM IMETOKANA NA STANDARD VOICE LIMITED CHINI YA UANGALIZI WA KAMPUNI YA BUHANZO INTERPRISES KWA LENGO LA KUSIMAMIA KITUO
KATIKA MAFUNZO HAYO WAFANYAKAZI WOTE WAPATAO KUMI WAMEJIFUNZA JUU YA DHIMA, DIRA NA MUONO WA RADIO PAMOJA NA MAUDHUI NA MALENGO YA UANZISHWAJI WA KITUO HICHO
HATA HIVYO KATIKA SEMINA HIYO WAFANYAKAZI WA KITUO HICHO WAMETOA MAONI MBALIMBALI IKIWA NI KUWATAKA KILA MMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO NA KUJITUMA ILI KUWEZA KUFIKIA MALENGO NA KULETA MAENDELEO KATIKA JAMII NA TAIFA KWA UJUMLA.

Waandishi wa SR fm Boniface Mpagape na Khadija Mahamba wakifurahia baada ya kutaarifiwa kuwa mitambo iliyokuwa imekwama nchini Afrika kusini imewasili tayari kwa kukamirisha shughuli za kufunga mitambo na kuanza kwa matangazo
Dreva wa SR fm Bw. Noel Exavery akipokea simu nje ya ofisi, akitaarifiwa kujiandaa kuipokea mitambo mipya ya radio hiyo 

RAMBIRAMBI KWA MTANGAZAJI


Na. Elizabeth Martine
WAFANYAKAZI WA STANDARD RADIO FM WAMEKABIDHI MCHANGO WA RAMBIRAMBI KWA MFANYAKAZI MWENZAO BW. BONIFACE MPAGAPE KWA KUFIWA NA NDUGU YAKE
BW.  MPAGAPE AMBAYE NI MHARIRI WA STANDARD RADIO ALIFIWA NA KAKA YAKE Bw. MBUTA MIRANDO, AMBAYE AMEWAHI KUWA KATIBU MWENYEZI WA TANU (T), MKUU WA WILAYA WA KWANZA WA WILAYA YA GEITA NA NGARA
MAREHEMU MIRANDO PIA ALIWAHI KUWA KAIMU BALOZI WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA KABLA YA KUTEULIWA NA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS NYERERE KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA HADI ALIPOSTAAFU MWAKA 1970, KABLA YA KIFO CHAKE KILICHOTOKEA December MOSI 2012 JIJINI MWANZA ALIKUWA AKIFANYA SHUGHULI BINAFSI.
WAFANYAKAZI WA HAO WAMEMKABIDHI KIASI CHA SHILINGI 32,000/= IKIWA NI ISHARA KUONESHA KUGUSWA NA TUKIO LA MWENZAO SAMBAMBA NA KUIMARISHA MAHUSIANO MIONGONI MWAO.
AKIKABIDHI FEDHA HIZO MRATIBU WA MRADI WA STANDARD RADIO BW. PROSPER KWIGIZE KWA NDUGU BONIFACE MPAGAPE AMESEMA KUWA MCHANGO HUO UMETOLEWA NA WAFANYAKAZI HAO IKIWA NI ISHARA YA UPENDO, UMOJA NA USHIRIKIANO MIONGONI MWAO.
KWA UPANDE WAKE BW. MPAGAPE  AKIPOKEA MCHANGO HUO, AMEWASHUKURU WAFANYAKAZI  WOTE WA MAKAMPUNI YA STANDARD VOICE LIMITED NA BUHANZO ENTERPRISES NA KUWAOMBA WAWE NA MOYO WA  USHIRIKIANO HUO  KWA WENGINE.
MAMAREHEMU MIRANDO AMEACHA MJANE MMOJA, WATOTO WATANO, WAJUKUU KUMIA NA WATANO NA KITUKUU KIMOJA, AIDHA AMEZIKWA KATIKA MAKABURI  YA KIRUMBA JIJINI MWANZA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 78.

UJENZI KITUO CHA AFYA ULEMO WAKWAMA


HII NI SEHEMU YA MSINGI KATI MSINGI MKUBWA LA KITUO CHA AFYA CHA ULEMO ULIOKO ENEO LA MSINGIRI UNAO TAKIWA KUBOMOLEWA
Na. Mwandishi wetu Iramba, Singida
Kituo Cha Afya katika kata ya Ulemo Wilayani Iramba Mkoani Singida, kimeshindikana kuendelea kujengwa kutokana na kudaiwa kuwa Ujenzi huo Umesimamishwa na muhandisi wa wilaya.
Ujenzi huo ambao Ulianza 2010 kwa kujengwa msingi ambao hata ulikuwa bado kumalizika,ulisimamishwa haraka na mhandisi kutokana na kukosewa kuchimbwa kwa msingi wake.
HILI NI JENGO LA ZAHANATI YA MISIGIRI ILYOPANDISHWAA HADHI NA KUWA KITUO CHA AFYA KATA YA ULEMO

Standard Radio ilifanya mahojiano na mhandisi wa Ujenzi wa wilaya, Bwana David Malegi kuhusiana na Ujenzi huo,ambapo Alikiri kuwa ni kweli Walisimamisha kuendelea kwa Ujenzi huo kutokana na msingi kuchibwa chini ya kiwango

HILI NI KONTENA LILILOSHEHENI VIFAA LILILOLETWA TANGU MWAKA 2008 NA WASWIDEN IPO HOFU KUWA ZANA ZILIZOKUWA ZIMESHEHENI KATIKA KONTENA HILO HUENDA ZILISHAPORWA NA WAJANJA
Shirika La Kiraia la{ SIKIKA} ambalo makao yake makuu yapo Dodoma, linalo jishughulisha na mambo ya Afya lilitembelea kituo hicho na kujionea lenyewe hali halisi iliyopo katika kituo hicho.
VIONGOZI WA SHIRIKA LA SIKIKA WAKITETA JAMBO KWENYE MSINGI WA KITUO CHA AFYA CHA ULEMO 

Hata hivyo inaelezwa kuwa kukwama huko kunatokana na ushirikiano mdogo wa wananchi na viongozi wao wa kata

Monday, December 10, 2012

MAJAMBAZI WATEKA MAITI NA KUIPEKUA, MAMILIONI YAPORWA


JESHI la polisi mkoani Sngida,linawashikilia watu 25 kwa tuhuma za kuteka gari la chuo kikuu cha Sokoine (SUA) Morogoro na kisha kupora mali na fedha za watu waliokuwa wanasindikiza maiti mwanafunzi wa chuo hicho kwenda mkoani Mara kwa ajili ya mazishi.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, Linus Sinzumwa, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo limetokea jumapili desemba 9 eneo la Kisaki katika wilaya ya Singida na kusema kwa sasa majina ya watuhumiwa hao hayawezi kutangazwa hadharani kwa madai kuwa kitendo hicho kinaweza kuathiri shughuli za upelelezi unaoendelea
 
Kamanda Sinzumwa amebainisha kuwa, watekaji hao baada ya kuora mali za wasindikizaji hao, walivunja jeneza na kasha kuupekua mwili wa marehemu Munchari Lyoba mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha SUA,
 
Amelitaja gari lililotekwa kuwa ni Toyota land cruiser lenye namba za usajili SU 37012 lililokuwa likiendeshwa na Kalistus Mapulila, na kwamba mali zilizoporwa ni pamoja na nguo za waathirika, kamera, kompyuta aina ya laptop na simu za mkononi ambavyo jeshi la polisi limefanikiwa kuvikamata.

"Vitu vingine tulivyovikamata ni pamoja na vitambulisho vya kazi, charger mbili za simu,kadi aina ya tembo kadi na shilingi 20,500 zizookotwa eneo la tukio", alisema kamanda huyo na kuongeza kuwa mafanikio hayo makubwa, yamechangiwa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi
 
Kamanda Sinzumwa ameongeza kuwa watuhumiwa baada ya kugawana shilingi milioni 19.8 walizopora, walianza kunywa pombe ovyo huku wakijitapa kuwa wana uwezo mzuri wa kiuchumi",

 


 

SINGIDA YAAZIMIA KILA JUMATANO KUWA SIKU YA USAFI

Hili ni Dampo la taka lililopo katikati ya mji wa Singida jirani na soko kuu, pembeni kushoto ni maduka na vibanda vya biashara, eneo hilo linatoa harufu mbaya saa hasa wakati huu wa mvua

SERIKALI wilayani Singida, imeagiza kusimamishwa kwa muda shughuli zote za kijamii kila siku ya jumatano kwa ajili ya kufanya shughuli za usafi wa mazingira ya mji wa manispaa ya Singida, ambao kwa sasa unatajwa kukithiri kwa uchafu ambao ni hatari kwa mazingira na afya ya wananchi

Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya ya Singida, mwalimu Queen Mlozi, wakati akizungumza na watendaji wa ngazi mbalimbali wakiwemo wa vijiji, kata, mitaa na vitongoji katika manispaa ya Singida.

Mwl. Queen Amesema hali ya usafi kwa mji wa Singida ni mbaya, inatisha na inatia aibu kubwa kwa wageni wanaoingia na kutoka, na hata kwa wenyeji wenyewe.


hapa ni sehemu ambapo maji taka na taka nyingine za mitaani hupita katika daraja hili lililoko jirani na Hospitali ya Mkoa wa Singida na kuishia kati
"


Kwa hiyo naagiza kuanzia jumatano ijayo desemba 12 mwaka huu,kuanzaia saa 1.30 hadi saa nne asubuhi,kazi/shughuli zote zitasimama ili kupisha kazi ya kusafisha mji ifanyike", amesema Mlozi.




Hili ni eneo maji yenye takataka mbalimbali yanaposambaa na kuacha uchafu wa kutisha, eneo hili liko barabarani jirani na round about, jirani na Hospitali ya mkoa wa Singida. hakika hali ni mbaya na anachoamua DC mlozi kinastahili kufanyiwa kazi

Aidha Mwalimu Mlozi  amesisitiza kuwa, ni kila mkazi mahali alipo atatakiwa kusafisha na kuondoa kila uchafu katika eneo lakena kwamba siku hiyo na muda huo, ofisi zote za serikali, taasisi, za watu binafsi, mahoteli, maduka na vituo vya kuuzia mafuta,zitasitisha shughuli zao na zitajikita katika kufanya usafi katika maeneo yao.

TUJADILI PAMOJA


kwanni kazi hii isipangwe kufanyika siku za jumamosi, ili kutoa fursa kwa shughuli za maofisini kufanyika bila kusababisha maafisa wengi kujifungia maofisini mwao wakikwepa kuwajibika kufanya usafi na kuwaachia kazi hiyo wananchi wa kawaida wasio na ajira au biashara?
Habari hii imeandikwa na Halima Jamal na picha Zimepigwa na Standard radio FM


Sunday, December 9, 2012

ARUSHA WAHITIMU MAFUNZO YA UJASILIAMALI

Mnara wa azimio la Arusha, lililolenga kujenga uzalendo na usawa wa kumiliki uchumi kwa watanzania, Mwl. Nyerere alitaka kila mtanzania awe mwaminifu, mwadilifu na anayelitumikia Taifa kwa dhati

Na. Beatrice Moses
Arusha Journalism Training College

Katibu Tawala wa wilaya ya Arusha Bw. Starnford Shayo awatunukia vyeti zaidi ya wahitimu 150 wa mafunzo ya ujasiriamali kutoka mikoa ya Arusha na Manyara, mahafali yaliyo fanyika mkoani Arusha yakiambatana na maonesho ya bidhaa mbalimbali yatakayo fikia kilele chake mnamo hii leo.

Akikabidhi vyeti hivyo kwa wahitimu hao Bw. Shayo amesema kuwa mapinduzi ya viwanda yanatokana na matumizi ya viwanda na kuhakikisha kuwa bidhaa zao zinatambulika Kitaifa na Kimataifa.

Aidha amesema kuwa serikali itahakikisha kuwa wajasiriamali wanasonga mbele kwa kuwataka kutengeneza bidhaa zao kwa mikono yao wenyewe pasipo kujali kiwango cha elimu walicho nacho.

Moja ya Mtaa wa Jiji jipya la Arusha, huu ni moja ya Miji ya Tanzania ambayo ni kitovu cha uchumi wa watanzania ingawa Raia wengi hawajatumia fursa zilizopo. Picha zote na Prosper Kwigize

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Tanzania Business Creation Company (TBCC), Bwana Elibariki Mchau ambaye ni Mkurugenzi mkuu wa wajasiriamali hao, ameiomba wizara ya Ardhi kuwapatia maeneo maalumu ya kufungua viwanda vya bidhaa ili kuweza kufanya shughuli zao na kuipatia fursa serikali kukusanya kodi kwa urahisi zaidi.

Bw. Mchau ameongeza kuwa hadi kufikia mwaka 2015 wajasiriamali hao watakuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za ajira kwa watanzania walio wengi, na hivyo kuipunguzia serikali mzigo wa ukosefu wa nafasi za ajira.

wajasiriamali hao wana uwezo wa kutengeneza bidhaa mbalimbali zikiwemo sabuni za miche, sabuni ya unga pamoja na sabuni za maji kwa ajili ya kusafisha maeneo mbalimbali kama vile injini za magari, mochuari, mabuchani na sehemu ambazo zina uchafu sugu.